Maudhui mtandaoni ni nini?

UKARIMU

Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
9
Reaction score
8
Kuna sehemu nilisoma kwamba yuko mtu alitozwa faini ya Tsh milioni 5 kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA).

Tunaandika, tunaweka picha, sauti nk. katika Facebook, tweeter, YouTube nk.

Naomba kuelimishwa: Kipi ni maudhui na kuweka maudhui mtandaoni; na kipi si maudhui wala kuweka maudhui mtandaoni?
 
Ulichoandika hapo juu Ni MAUDHUI na kinaweza kusababisha wewe kwenda Segerea au kulipa milioni tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…