GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sijui ni lini utabadilika Wewe na ndiyo maana Waandishi wa Habari Wenzako wote wanaula kwa Teuzi na Wewe upo upo Maredioni na kwa Mabibi Vizee huko Marekani, Uingereza, Finland na Dubai.
Ali Mayai hajateuliwa na Serikali kuwa Msimamizi wa Mpira wa Miguu uliouzoea na Yanga SC bali amepelekwa hapo kusimamia Michezo yote.
Badilika unaiabisha sana ru Tasnia.
Ali Mayai hajateuliwa na Serikali kuwa Msimamizi wa Mpira wa Miguu uliouzoea na Yanga SC bali amepelekwa hapo kusimamia Michezo yote.
Badilika unaiabisha sana ru Tasnia.