GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sikiliza EFM Sports Headquarters sasa utaelewa kile nikisenacho juu yake. Ukiona namkaanga ( namsema ) Mru hapa Jamiiforums jua nimeshayona Mapungufu yake Tukuka.Ha ha..ni kweli ataongoza hadi bao..ila hajakosea kusema anaongoza mpira kwa kuwa na wenyewe upo kwenye orodha.Labda kama una lingine juu ya Kitenge..naona umeenda hadi kwa bibi vizee wake
Zile safari za ughaibuni zimemtoa ufahamu kwa kiasi kikubwa sanaSikiliza EFM Sports Headquarters sasa utaelewa kile nikisenacho juu yake. Ukiona namkaanga ( namsema ) Mru hapa Jamiiforums jua nimeshayona Mapungufu yake Tukuka.
Kila mara Wachambuzi katika zamu Leo akina Ibrahim Masoud Maestro, Jemedari Said Kazumari na Watangazaji Abdulrazaq Majid na Tunu Shenkome wanamuambia ni wa Michezo yote lakini lenyewe linakazia tu katika Mpira wa Miguu na TFF.
Huyu Mtu hajawahi kuwa na Akili Ok?