Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni "teeth" ngazi ya juuHuyu jamaa anatoa Wapi pesa
Kwenye kipindi cha good morning cha wasafi FM anasoma magazeti Ila hamalizi mwezi akiwa Tanzania
Utasikia yupoo USA
German
Mara italy
Leo yupo Dubai
Wakuu huyu jamaa anafanya Kazi Gani mpaka awe na pesa hivi
Ukifuatilia sana maisha ya mtu utachelewa kutengeneza maisha yako. Maisha yana siri nyingi sana Mkuu.Huyu jamaa anatoa Wapi pesa
Kwenye kipindi cha good morning cha wasafi FM anasoma magazeti Ila hamalizi mwezi akiwa Tanzania
Utasikia yupoo USA
German
Mara italy
Leo yupo Dubai
Wakuu huyu jamaa anafanya Kazi Gani mpaka awe na pesa hivi
Mange alimuexpose anajiuza kwa mishangazi inayoishi nje...anakurubuni na ndoa. Then anaanza kulahela za mashangaziHuyu jamaa anatoa Wapi pesa.
Kwenye kipindi cha good morning cha wasafi FM anasoma magazeti Ila hamalizi mwezi akiwa Tanzania.
Utasikia yupoo USA , German, mara Italy, leo yupo Dubai.
Wakuu huyu jamaa anafanya kazi gani mpaka awe na pesa hivi?
Kosa lipo wapi kama wanampa hela mume wao?...Mange alimuexpose anajiuza kwa mishangazi inayoishi nje...anakurubuni na ndoa. Then anaanza kulahela za mashangazi
Halipo mkuuKosa lipo wapi kama wanampa hela mume wao?...
uchocezi wa nini?Huu ni uchochezi
Si lazima kazi ya maana, hata ukiongea vizuri na mishangazi tu unaweza kusafirisafiri kama Kitenge.Huyu jamaa anatoa Wapi pesa.
Kwenye kipindi cha good morning cha Wasafi FM anasoma magazeti Ila hamalizi mwezi akiwa Tanzania.
Utasikia yupoo USA, German, mara Italy, leo yupo Dubai.
Wakuu huyu jamaa anafanya kazi gani mpaka awe na pesa hivi?
Yupo DodomaHivi yule Mkewe Eshe Muhidin wa TBC kapotelea wapi?