Ndo apo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji16]TISS anadukuliwa accnt zake na Diamond Platnumz , kijana aliyeishia form two B,
Ooh kumbe alitumwa kazi pale WCB , [emoji39]
Si pesa zake,we kinakuuma nini?Nawewe katoe,Diaomond ni swahili sana kupita kiasi, na ndio maana hata anapotoa msaada hupenda dunia yote ijue.
Possibly alisave password na username kwenye computer ya office
Hacker hahitaji chochote kati ya hivyo hapo.Hivi kudukuwa wanaona kitu rahisi.
Huyo maulid kama alikuwa anaweka mambo yake azarani mfano nywila yake ina mwaka wa kuzaliwa au jina ambalo anatumia nywila,kama alikuwa kaacha kompyuta ofisini kutokufunga email zake na kama anatumia email ya ofisi lazima data zibaki ofisni.
Ni mengi tu
We chawa kuna sehemu Kitenge amemtaja huyo unaye muabudu 24/7?TISS anadukuliwa accnt zake na Diamond Platnumz , kijana aliyeishia form two B,
Ooh kumbe alitumwa kazi pale WCB , 😋
Kwani mtoa Uzi amsemajeWe chawa kuna sehemu Kitenge amemtaja huyo unaye muabudu 24/7?