Maulid Kitenge kama kawaida yako Chuki, Wivu na Unafiki dhidi ya Simba SC vinakumaliza

Maulid Kitenge kama kawaida yako Chuki, Wivu na Unafiki dhidi ya Simba SC vinakumaliza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linapanga kufanya marekebisho makubwa ya mashindano yake hasa Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la Shirikisho la CAF.

Shirikisho la soka barani humo limekuwa likichunguza njia za kuweka upya kandanda ya Afrika, hasa kwa Ligi ya Soka ya Afrika, ambayo imefanyika mara moja tu tangu kuanzishwa kwake.

Kulingana na ripoti, CAF inazingatia mfululizo wa mabadiliko ya kisasa na kuboresha muundo wa uuzaji na ushindani wa mashindano ya vilabu vyake.

Pendekezo la msingi linahusisha kufutiliwa mbali kwa kombe la Shirikisho la CAF na kurekebisha muundo wa Ligi ya Mabingwa.

Maelezo muhimu kutoka kwa pendekezo hilo ni pamoja na: (i) kombe la shirikisho kufutwa. Hatua hii itaiwezesha CAF kuangazia kupanua Ligi ya Mabingwa huku ikidumisha African Football League kama shindano kuu.

Chanzo: Maulidkitenge

Ndiyo maana kumbe hata Majirani zako pale Kwenu (jirani na Uwanja wa Uhuru Temeke nyuma ya Baa ya Mama Chichi kwa Baba yako Ulikozaliwa) wanakushangaa kwa Kushindwa kuifanyia Ukarabati Nyumba yenu ambayo sasa ndiyo Imechoka kwa Kuchakaa Mtaa mzima wakati Kutwa unatamba una Hela (Tajiri)
 
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linapanga kufanya marekebisho makubwa ya mashindano yake hasa Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la Shirikisho la CAF.

Shirikisho la soka barani humo limekuwa likichunguza njia za kuweka upya kandanda ya Afrika, hasa kwa Ligi ya Soka ya Afrika, ambayo imefanyika mara moja tu tangu kuanzishwa kwake.

Kulingana na ripoti, CAF inazingatia mfululizo wa mabadiliko ya kisasa na kuboresha muundo wa uuzaji na ushindani wa mashindano ya vilabu vyake.

Pendekezo la msingi linahusisha kufutiliwa mbali kwa kombe la Shirikisho la CAF na kurekebisha muundo wa Ligi ya Mabingwa.

Maelezo muhimu kutoka kwa pendekezo hilo ni pamoja na: (i) kombe la shirikisho kufutwa. Hatua hii itaiwezesha CAF kuangazia kupanua Ligi ya Mabingwa huku ikidumisha African Football League kama shindano kuu.

Chanzo: maulidkitenge

Ndiyo maana kumbe hata Majirani zako pale Kwenu (jirani na Uwanja wa Uhuru Temeke nyuma ya Baa ya Mama Chichi kwa Baba yako Ulikozaliwa) wanakushangaa kwa Kushindwa kuifanyia Ukarabati Nyumba yenu ambayo sasa ndiyo Imechoka kwa Kuchakaa Mtaa mzima wakati Kutwa unatamba una Hela (Tajiri)
Mkuu sasa hapo kosa la kitenge ni lipi sijalielewa?
 
Unamuonea mwanaume mwenzio wivu ,? Hiyo habari ina mapungufu gani ? Yeye ni mwana habari na ndo kazi inayompa ugali wake na familia yake ,,,, ! Utaolewa au tayari ni mwanaupinde
 
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linapanga kufanya marekebisho makubwa ya mashindano yake hasa Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la Shirikisho la CAF.

Shirikisho la soka barani humo limekuwa likichunguza njia za kuweka upya kandanda ya Afrika, hasa kwa Ligi ya Soka ya Afrika, ambayo imefanyika mara moja tu tangu kuanzishwa kwake.

Kulingana na ripoti, CAF inazingatia mfululizo wa mabadiliko ya kisasa na kuboresha muundo wa uuzaji na ushindani wa mashindano ya vilabu vyake.

Pendekezo la msingi linahusisha kufutiliwa mbali kwa kombe la Shirikisho la CAF na kurekebisha muundo wa Ligi ya Mabingwa.

Maelezo muhimu kutoka kwa pendekezo hilo ni pamoja na: (i) kombe la shirikisho kufutwa. Hatua hii itaiwezesha CAF kuangazia kupanua Ligi ya Mabingwa huku ikidumisha African Football League kama shindano kuu.

Chanzo: maulidkitenge

Ndiyo maana kumbe hata Majirani zako pale Kwenu (jirani na Uwanja wa Uhuru Temeke nyuma ya Baa ya Mama Chichi kwa Baba yako Ulikozaliwa) wanakushangaa kwa Kushindwa kuifanyia Ukarabati Nyumba yenu ambayo sasa ndiyo Imechoka kwa Kuchakaa Mtaa mzima wakati Kutwa unatamba una Hela (Tajiri)
Ndugu zangu anayelifahamu kosa la Maulid Kitenge mpaka kushushiwa kichambo cha nyumba yao kuchakaa, huku akijitamba kuwa yeye ni tajiri; aniambie hapa. Leo sijamuelewa kabisa huyu mdogo wangu Jenta.
 
Wewe nawe Gentamycine Mbona uweleweki Siku hizi? Wewe Ndigiri au JUNYA? Mimi Simba Lakini Mbona Sijaona kitu Kibaya Cha Maulid wa Kitenge Alichoandika? Tuambie Siku hizi Umeleft Group Nini? Maana Post Zako kama unapumuliwa vile kisogoni
 
Wewe nawe Gentamycine Mbona uweleweki Siku hizi? Wewe Ndigiri au JUNYA? Mimi Simba Lakini Mbona Sijaona kitu Kibaya Cha Maulid wa Kitenge Alichoandika? Tuambie Siku hizi Umeleft Group Nini? Maana Post Zako kama unapumuliwa vile kisogoni
Aiseee
 
Back
Top Bottom