Maulid Kitenge kuwa MC wa tamasha la Singida big day kesho. Singida Black Stars wanawezaje kumlipa hela nyingi hivyo?

Maulid Kitenge kuwa MC wa tamasha la Singida big day kesho. Singida Black Stars wanawezaje kumlipa hela nyingi hivyo?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Maulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20.

Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa nyingi hivyo Maulid? Hiyo hela wanapata wapi?
IMG_2705.jpeg
 
Maulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20.

Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa nyingi hivyo Maulid? Hiyo hela wanapata wapi?View attachment 3065625
Singida ni Ndugu yake uto,
Hawatokosa hizo fedha.
 
Back
Top Bottom