Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Singida ni Ndugu yake uto,Maulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20.
Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa nyingi hivyo Maulid? Hiyo hela wanapata wapi?View attachment 3065625
Acha bhangiiii🤔
Sendo za ghorofaaa? Waja siwaweziii"Unaambiwa izo iafoni anasikia kila kitu, na hazivui hata kama anaoga yupo na iafoni zake"
Ilisikika kijana mmoja aliyevaa sendo za ghorofa na soksi
Ila hawakufanya vizuri siku ya YangaMaulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20.
Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa nyingi hivyo Maulid? Hiyo hela wanapata wapi?View attachment 3065625
SiachiiiiiAcha bhangiiii🤔
Hv yale masendo ndo namkuta mwanangu kayavaa Nitazimia mie.Sendo za ghorofaaa? Waja siwaweziii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuja kutafuta comment hii🤣🤣Mwigulu anajua atakochota
Hakika.
Pamba jiji siyo yao ni kesho mkuuKwani pamba jiji wame toa wapi pesa za kumlipa Harmonize iyo jpili
Nilikuja kutafuta comment hii