Maulid Kitenge na Bluetooth receiver

Ni kama Millard Ayo
huwa anavaa earphone za rangi nyeupe.. Maranyingi sana unamkuta nazo, hadi alipoenda Asia kwenye tamasha la huawei akaitwa kwenye stage alizavaa na pale alikuwa anatazamwa na dunia nzima..
So nadhani ni mazoea..
Ni kama Temba na toothpick.
 
Nashindwa kuelewa kwanini MAULID KITENGE anapenda kufanya matangazo na kidude masikioni(blue tooth receiver) huo ni ulemavu au ushamba... Au ndo identity yake!!!
View attachment 471494
Mkuu kwani hiyo Bluetooth receiver inaathili namana gani usikivu wako anapotangaza?? Kama unampenda Maulid Kitenge basi mpende yeye na acha afanye maisha yake binafsi.
 
Umeua hapo kwa Temba na tooth pick
 
Umemaliza. Ni kama mwalimu na kifimbo. Kila mtu ana kastaili kake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…