HaswaaaUmemaliza. Ni kama mwalimu na kifimbo. Kila mtu ana kastaili kake
Wabongo bana,kwani unamlipia wewe?muache mtu na maisha yakeNashindwa kuelewa kwanini MAULID KITENGE anapenda kufanya matangazo na kidude masikioni(blue tooth receiver) huo ni ulemavu au ushamba... Au ndo identity yake!!!
View attachment 471494
Nashindwa kumwelewa kabisa huyu kijana... Ana kitangazo fulani hivi cha platinum credit yani humo napo kavaa... Sijui alikua na wasiwasi wa kupigiwa simu wakati wa tangazo...
Mada gani za kujadili mtu anayevaa zake blootooth device!Dont take it personal brother... Hasira hazitakiwi kwenye kujadili hii mada
Jibu zuri kabisa.Ni kama Millard Ayo
huwa anavaa earphone za rangi nyeupe.. Maranyingi sana unamkuta nazo, hadi alipoenda Asia kwenye tamasha la huawei akaitwa kwenye stage alizavaa na pale alikuwa anatazamwa na dunia nzima..
So nadhani ni mazoea..
Ni kama Temba na toothpick.
Duuu[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hata mimi nashangaa kwann hafugi nywele yeye kilacsiki ananyoa tu, hata mwaka jana alipoenda pale old Trafford alikuwa kanyoa