Wewe utakosa nini Wanyama wakihamia Serengeti?Hoja ni kwamba, hao watu ipo siku watazidi na hiyo itasababisha wanyama kukimbia kutokana na makazi ya binadamu kukua zaidi.
Kwa mtindo wa sasa, ngorongoro miaka 50 ijayo haitakuwepo.
No doubt, huu ndio ukweli halisi ambao baadhi wa watz wako blinded na Siasa za wanasiasa wawekezaji kupitia NCA.Kuliko kujengwa mahotel ambayo mtazania hatoweza kuafford kulala hapo ni bora ndugu zetu wabaki kama ni kweli kuna muwekezaji anataka kuwekeza
Pamoja na 'ukaidi' wa Magufuli hakuona sababu muhimu ya kudeal na hilo kasheshe, !Magufuli ndio aliwaweka wamasai hapo?
Ni nonsense kwa sababu haelewi argument nzima. Watu hatupingi kuwepo kwa wamasai, tunapinga kuweko kwa idadi ya wamasai na mifugo yao kiasi ya kuathiri balance ya eco system. Wakiweko wamasai 500000 wenye mifugo 500 ni afadhali kuliko kuwa na wamasai 500 wenye mifugo 500000. Warudi kwenye idadi ya awali ya binadamu 20000 na mifugo 275000. Wanaozidi hapo wahame na mifugo yao watafute au watafutiwe maeneo mengine ya kuishi.Kuna 'mbobezi' mmoja kasema hii notion kwamba hifadhi inakufa kwa sababu ya uwepo wa Maasai ni 'scientific nonsense'..!
Nami nakubaliana nae kwa 105%
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi miaka nenda rudi wameishi peacefully na wanyama pori bila ugomvi na wakatunza hiyo mbuga for karne kibao leo uwaondoe kwa kosa gani walilofanya?Waondoke kwao? Kwanini
Kujaribu bure!Hamuwajui wamasai Ile creater wataifanya ziwa muda si mrefu mkose wote
Wamezaana sana wamevuka mipaka waliyowekewa awali wanaivuruga mbuga ya ngorongoro huyo Maulid Kitenge yupo sawaSomebody said, AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.
FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).
Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana?
Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..
Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)
Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.
Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda,
Zitakuaharibia.
Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Mkimaliza majani ya ngorongoro pakawa jangwa mtahamia kwingine. Pia mnazaliana,makazi ya watu yamezidi,sio mbuga tens. Ondokeni au muondolewe kwa nguvu. Hakuna watu waharibifu was mazingira kama wafugaji has a Masai,na hats ukipeleka ahule akili zao huwa hazielimiki. Sikutegemea PhD holder mzima wale mapacha kwamba na yeye akili zake bado za kiporipori.Somebody said, AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.
FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).
Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana?
Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..
Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)
Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.
Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda,
Zitakuaharibia.
Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Toa data acha blah blah.Wamezaana sana wamevuka mipaka waliyowekewa awali wanaivuruga mbuga ya ngorongoro huyo Maulid Kitenge yupo sawa
Kwanza ondoa notion uliyonayo kichwani kwamba watu wanavamia Ngorongoro. Wavamizi ndani ya Ngorongoro ni the so called "Investors" wenye mahoteli na Campsites. Wamasai wanaozungumziwa wapo hapo zaidi ya miaka 7000/ Tunazungumzia miaka kabla hata Yesu hajaandaliwa kuja duniani! Vizazi na vizazi vimeishi hapo. Ngorongoro yenye square meter karibu 8000 na zaidi, hebu igawe KWA watu Laki moja kisha linganisha maeneo yote yenye wawekezaji akiwemo OBC utuambie nani anapaswa kuondolewa?Kwani hao simba ndo wamewafata watu yani arusha yote ile mpaka watu wakajenge na kuingi,a mifugo hifadhini???? Acha ujuhaa wew hao wamasai wadhibitiwee mapemaa tuu ardhi kubwa sana ya kuishi haina maana kwenda kuishi Mbugani ni kudhihirishia wazungu sis ni nyani na hatujitambui japo wajinga wachache wanasupport huo upuuzi
Nimewaona chura wa Kihansi ambao naona wako hatarini kutoweka,pia na faru wanaotoweka kwa kasi pia.Wewe shoga hao dinosaur umewahi kuwaona?
Ndio akili yako ilipoishia,hapa tunazungumzia uwepo wa masai mahali pale wewe unazungumzia ujenzi wa wakazi wengineo.Bhasi kesho kaanze kumwaga tofali pale serengeti kwa kua unajiona una akili kuliko Simba alafu usiku utajua kama wew na Simba nani ana akili??? Unaweza kuwa na Akili ila Huna maarifa yani zero kabisaa na hujielewiiii... Ndo maana unaona una haki hata ya kwenda kujenga Serengeti alafu wale tembo wakaishi Kkoo eti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kutokujua ni ujinga sana,nenda usome historia ya eneo hilo utapata jibu kuwa masai walikuwepo eneo hilo kabla ata ya mkoloni na hao simba wako...soma usitie aibu hapaNani aliemfata mwenzake...???? Binadamu uache maeneno yote uende ukanjenge mbugani kisa kufata nyasi na kulisha mifugo yako???? Kila mkoa wafuhaji wakienda kuishi mbugani itakuwaje..??? Ndo yale ya kusikia simba kala watu mara sijui fisi kashambulia watoto alafu lawama zinakuja kwa Serikali upuuzi tu
Hao wamasai ndo ambao mnawatetea hapa wazidi kufanya maendeleo ya kujenga makazi na sehemu za kuishi maana wanazidi kuzaliana.. Kwani dar kkoo zamani si lilikuwa pori??? Nini kimetokea bhasi hayo maendeleo makubwa ambayo mwanadamu anaweza fanya sababu ya kukua kwa idadi ndo tunakataa athari zakeNdio akili yako ilipoishia,hapa tunazungumzia uwepo wa masai mahali pale wewe unazungumzia ujenzi wa wakazi wengineo.
Waste of time trying to educate a fool
Kwamba Wamasai walikuwepo kabla ya wanyama pale Ngorongoro[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28] wanyama walipelekwa pale kama Chato vile ausio[emoji13]Kutokujua ni ujinga sana,nenda usome historia ya eneo hilo utapata jibu kuwa masai walikuwepo eneo hilo kabla ata ya mkoloni na hao simba wako...soma usitie aibu hapa
Kwani hujui ata kuwa wanyama wanahama pia!!? Au unafikiri nayokueleza ni porojo?Kwamba Wamasai walikuwepo kabla ya wanyama pale Ngorongoro[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28] wanyama walipelekwa pale kama Chato vile ausio[emoji13]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Itabdi nisome aisee tunaweza tengeneza ngorongoro nyingne pale kimaraKwani hujui ata kuwa wanyama wanahama pia!!? Au unafikiri nayokueleza ni porojo?
Nimekuambia soma maana unaonekana mjinga sana
Kwa hiyo hautaki mwanadamu aendelee bali mnyama ndio aendelee....mental retarded kabisa wwHao wamasai ndo ambao mnawatetea hapa wazidi kufanya maendeleo ya kujenga makazi na sehemu za kuishi maana wanazidi kuzaliana.. Kwani dar kkoo zamani si lilikuwa pori??? Nini kimetokea bhasi hayo maendeleo makubwa ambayo mwanadamu anaweza fanya sababu ya kukua kwa idadi ndo tunakataa athari zake