Uchaguzi 2020 Maulid Mtulia akalia kuti kavu , Idd Azan arejea tena ulingoni

Mzee wa Sports Pesa vipi ? diwani wa zamani wa Hananasif hajatia NIA ? Bw Abbas Tarimba
 
Ngoja nikipata wasaa ntamdodosa
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila naona kama anaangalia upepo kwanza

Ova
Huyu na Yusuf Mwenda yule mega wa kinondoni wanataka ubunge na wamejipanga

Mwenda kawe
Tarimba kinondoni

Tusubiri tuone ,we chimba utatuambia upatayo huko
 
Hebu jiulize Nyalandu alihamaje ccm , sikiliza speech yake siku anahama , usimfananishe na hao waliojiuza
Huna mpya speech kitu gani, watu wakilikimbia jumba bovu (chadema)mnawachukia Ila wakiingia jumba bovu (chadema)mnawapongeza
 
Iddy Azan ni muuza ngada kinondoni yote anafahamika.arudi kwenye soka akagange njaa.
 
View attachment 1499230

Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Huu uchaguzi utakua mwepesi sana,yaani mpaka watu wa chadema wanapigia debe habari za ccm,au umenunuliwa wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…