Muwakumbuke na watia nia wa CHADEMA piaTunachochea kuni
Atarudi CUFView attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Hiyo mihadarati alikusukumia katika njia yako ya makalio. Muda mwingine tafakari kabla ya kuandika upuuzi wako hapa.Huyu anakashifa ya mihadarati hafai ,labda aende chadema
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Mbona yupo CCM na hachukuliwi hatua?Huyu anakashifa ya mihadarati hafai ,labda aende chadema
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Si Dodoma tu kinondoni kwenyewe kamati ya siasa INA mchinja hata kwa kumpa Alama mbovuVipi pale Dodoma atapita katika zile kamati zetu??
Ngoja nikipata wasaa ntamdodosaMzee wa Sports Pesa vipi ? diwani wa zamani wa Hananasif hajatia NIA ? Bw Abbas Tarimba
Mtarajiwa, vipi mbona mtu kama Lazaro Nyalandu unamyima joho la usaliti kwa kuhama chama na unawaonea akina Mtulia tu?Usaliti ni laana
Huyu na Yusuf Mwenda yule mega wa kinondoni wanataka ubunge na wamejipangaNgoja nikipata wasaa ntamdodosa
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila naona kama anaangalia upepo kwanza
Ova
WAACHE WAVURUGANEView attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia
Kiukweli wengi waliohama hawatapata nafsi,unafikiri ccm wajinga!Huyu atapita bila upinzani...waliounga mkono juhud..warudi mashambani wakalime..
Msisahau[emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16]Pasipo na Shaka Idd Azan anarudi jimboni. Amejiandaa vya kutosha na fedha anayo na anakubalika miongoni mwa wajumbe wa CCM jimboni.
Mtulia msomi lakini Hana mipango, vision na ameshindwa kuwavuta wajumbe wadogowadogo jimboni
πππMsisahau[emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16]View attachment 1499376
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jiulize Nyalandu alihamaje ccm , sikiliza speech yake siku anahama , usimfananishe na hao waliojiuzaMtarajiwa, vipi mbona mtu kama Lazaro Nyalandu unamyima joho la usaliti kwa kuhama chama na unawaonea akina Mtulia tu?
Ndio kawaida ya losersWe dada una matatizo! Wote waliohama Chadema na kuunga juhudi unawachukia na kuwaombea mabaya.
Hajielewi huyoMtarajiwa, vipi mbona mtu kama Lazaro Nyalandu unamyima joho la usaliti kwa kuhama chama na unawaonea akina Mtulia tu?
Huna mpya speech kitu gani, watu wakilikimbia jumba bovu (chadema)mnawachukia Ila wakiingia jumba bovu (chadema)mnawapongezaHebu jiulize Nyalandu alihamaje ccm , sikiliza speech yake siku anahama , usimfananishe na hao waliojiuza
Huu uchaguzi utakua mwepesi sana,yaani mpaka watu wa chadema wanapigia debe habari za ccm,au umenunuliwa wewe?View attachment 1499230
Hii ndio habari mpya inayozunguka mitaa ya kwa Manyanya , kwamba mbunge wa zamani wa kinondoni Idd Azan anataka tena tiketi ya kugombea ubunge kupitia ccm , Jambo linaloleta mashaka kwa mamluki Maulid Mtulia