Maulidi Kitenge anaponyoa kihuni

Tena kavaa mapete yaleyale ya kama kina nani hiino!!??:A S embarassed:
 
tusimpake matope kwanza,swali alikuwa anatangaza habari gani usijekuta ni za michezo na burudani utaumbuka!au za mitindo,KAMA TAARIFA YA HABARI,zile za nyumbani na za kigeni AU BIASHARA,yuko out off motion,lakini vinginevyo mi naona ni SAWA..................
 
Mwache anakwenda na Style! hiyo inaitwa KIDUKU!:teeth:
 
"president anapovaa cheni je? Hiyo nayo imekaaje??????????mwacheni kijana wa watu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huo mtindo anaonyoa wa-Kitenge unaitwa 'Mtindo wa MMBWA-KACHOKA'.

Wahenga waliliona tangu huko nyuma na kuamua kuiachia vijana chipukizi wenye kama miaka 9 had 18 hivi kufanya hivyo. Kwa kifupi, walichomaanisha hapo ni kwamba ni mtindo wa mnyowo wa Vijana wadogo wadogo waliojaa purukshani, mbwembwe na na mihadaa mingi katika maisha ya ya kubalehe hivi. Ukimtazama wa-Kitenge vizuri kichwani kwa upande wa mbele utaona kuna ka-sura mithili ya 'M'.

Ni hiyo sehemu ya katikati ya 'M' ambayo huonekana kuchongoka mbele zaidi kuliko pande zingine mbili za nywele kichwani ambacho NDICHO KINACHOONEKANA kama MFANO WA MMBWA KUCHOMOA ULIMI WAKE mbele zaidi nje ya mdomo kuashiri kuchoka kwake baada ya kukimbizwa sana huko atokakako.

Sasa kwa mwenzetu huyu, hatuwezi sana kumsemea mpaka awe amehiari mwenyewe maelezo binafsi kama naye huenda kachoka baada ya kukimbizwa sana na hizi purukshani zetu za maisha hapa Bongo au atujulishe kama huenda ndio mwenzetu kwanza anatia mguu katika ulimwengu wa michipukizi wale wanaoanza kubadilika badilika sauti na tabia nyinginezo huko??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…