Maulidi Kitenge unachokitafuta utakipata very soon.

Maulidi Kitenge unachokitafuta utakipata very soon.

Nasema Uongo Ndugu Zangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
279
Reaction score
779
Bwana Maulidi Kitenge ameendelea kuonekana waziwazi kuwa miongoni mwa wapigadili wachache walioichukia sana serikali ya awamu ya tano. Pamoja na kufanya hivyo kwaajili ya udini, lakini amezidi kujisahau na kujikuta anatumika kupita kiasi.

Sakata la Loliondo, Ngorongoro, Kushangilia pale viongozi wanapo pumzishwa, kupiga dili haramu huku ukijifanya mshika dini sana ni miongoni mwa mambo ambayo hivi karibuni yatafanya ujute sana.

Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
 
Bwana Maulidi Kitenge ameendelea kuonekana waziwazi kuwa miongoni mwa wapigadili wachache walioichukia sana serikali ya awamu ya tano. Pamoja na kufanya hivyo kwaajili ya udini, lakini amezidi kujisahau na kujikuta anatumika kupita kiasi.

Sakata la Loliondo, Ngorongoro, Kushangilia pale viongozi wanapo pumzishwa, kupiga dili haramu huku ukijifanya mshika dini sana ni miongoni mwa mambo ambayo hivi karibuni yatafanya ujute sana.

Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
Awamu ya tano wajinga walionekana werevu !!!!! J. Ulimwengu
 
Bwana Maulidi Kitenge ameendelea kuonekana waziwazi kuwa miongoni mwa wapigadili wachache walioichukia sana serikali ya awamu ya tano. Pamoja na kufanya hivyo kwaajili ya udini, lakini amezidi kujisahau na kujikuta anatumika kupita kiasi.

Sakata la Loliondo, Ngorongoro, Kushangilia pale viongozi wanapo pumzishwa, kupiga dili haramu huku ukijifanya mshika dini sana ni miongoni mwa mambo ambayo hivi karibuni yatafanya ujute sana.

Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
Alinifadhaisha sana kwenye swala la Ngorongoro. Na mtu mwenyewe hajui chochote juu ya lile swala na hawezi hata kutofautisha kati ya hilo swala na lile la Loliondo. Aliniudhi.
 
Alinifadhaisha sana kwenye swala la Ngorongoro. Na mtu mwenyewe hajui chochote juu ya lile swala na hawezi hata kutofautisha kati ya hilo swala na lile la Loliondo. Aliniudhi.
Ndio wachambuzi wetu tulio nao,
ufahamu wa mambo kwao sio kigezo bali ni kuropokaropoka ndio wanaweza ukija kwenye michezo kule yaani yeye ndio kajua yote
 
Bwana Maulidi Kitenge ameendelea kuonekana waziwazi kuwa miongoni mwa wapigadili wachache walioichukia sana serikali ya awamu ya tano. Pamoja na kufanya hivyo kwaajili ya udini, lakini amezidi kujisahau na kujikuta anatumika kupita kiasi.

Sakata la Loliondo, Ngorongoro, Kushangilia pale viongozi wanapo pumzishwa, kupiga dili haramu huku ukijifanya mshika dini sana ni miongoni mwa mambo ambayo hivi karibuni yatafanya ujute sana.

Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
1997 akiwa Majira
FB_IMG_1659321556310.jpg
 
Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako.
Mbona na wewe unaonyesha dhahiri kuwa ni kipenzi cha awamu ya tano mpaka unatoa vitisho?

Jee yeye amekutolea vitisho vyo vyote kwako?
 
Mjinga ww. Vibaraka na vimbwengo vya jiwe hamtokaa mrudi ikulu hata kizazi cha 20. Na hivyo vitisho vyenu vilishazikwa since march 17, na hakuna kitu mtafanya kwa sasa.

Na hatar iko kwenu ninyi maana mnaishi kama digidigi huku tukiwachora tu. Na kama mtaendelea na vitisho vyenu hata hivyo vichaka mlivyojificha tutavifyeka tuone mtajificha wapi.
 
Mjinga ww. Vibaraka na vimbwengo vya jiwe hamtokaa mrudi ikulu hata kizazi cha 20. Na hivyo vitisho vyenu vilishazikwa since march 17, na hakuna kitu mtafanya kwa sasa.

Na hatar iko kwenu ninyi maana mnaishi kama digidigi huku tukiwachora tu. Na kama mtaendelea na vitisho vyenu hata hivyo vichaka mlivyojificha tutavifyeka tuone mtajificha wapi.
Duh! you sound like Kinana for sure
 
Bwana Maulidi Kitenge ameendelea kuonekana waziwazi kuwa miongoni mwa wapigadili wachache walioichukia sana serikali ya awamu ya tano. Pamoja na kufanya hivyo kwaajili ya udini, lakini amezidi kujisahau na kujikuta anatumika kupita kiasi.

Sakata la Loliondo, Ngorongoro, Kushangilia pale viongozi wanapo pumzishwa, kupiga dili haramu huku ukijifanya mshika dini sana ni miongoni mwa mambo ambayo hivi karibuni yatafanya ujute sana.

Bwana kitenge inasemekana ni kazi maalumu lakini nakuhakikishia haya yatakutokea puani na utajikuta pekeyako. Mungu akusaidie akuoneshe hatari iliyo mbele yako ili uendelee kutupa habari za michezo na si vinginevyo.

Uzi huu utakuwa shahidi.
Makonda kumbe Bado upo na haujutii kama unavyojiita? Hii nchi sio ya Magufuli, kwanini uteseke?
 
Alinifadhaisha sana kwenye swala la Ngorongoro. Na mtu mwenyewe hajui chochote juu ya lile swala na hawezi hata kutofautisha kati ya hilo swala na lile la Loliondo. Aliniudhi.
Swala ni mnyama, Suala ni jambo flani! Sasa hapa unamaanisha nini??
 
Yeye akishambulia awamu ya 5 ww shambulia hizo nyingine bila kutishiana.
 
Mjinga ww. Vibaraka na vimbwengo vya jiwe hamtokaa mrudi ikulu hata kizazi cha 20. Na hivyo vitisho vyenu vilishazikwa since march 17, na hakuna kitu mtafanya kwa sasa.

Na hatar iko kwenu ninyi maana mnaishi kama digidigi huku tukiwachora tu. Na kama mtaendelea na vitisho vyenu hata hivyo vichaka mlivyojificha tutavifyeka tuone mtajificha wapi.
Jifanye unajikuna.
 
Back
Top Bottom