james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 693
- 690
sijakuelewa mkuu kivip yaniUnatokea mkoa gan kwn...itakua anabana matumiziView attachment 954510
bc kwa dalili za utahira no ila baba yake anakichwa kikubwaa kitaalamu inawezekan ni maumbilee yakawa ni yakurith au hamnuwezekano huoKuwa na kichwa kikubwa kilichopitiliza kwa mtoto ni tatizo lijulikanalo kwa kidaktari(hydrocephalus) yaani kichwa kujaa maji kutokana na fuvu za kichwa cha mtoto kushindwa kusogeleana ktk hatua ya kuzaliwa mpk ukuaji.Lakini tatizo hili hugunduliwa mapema mara mtoto anapozaliwa.Ikiwa una wasiwasi muangalie mtoto km ni mzubaifu au ana dalili za utahira km sivyo basi kuna watu wanakua na vchwa vikubwa kiasili.