Maumivu Chini ya Kitovu kwa mama Mjamzito

Shamkware

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
1,750
Reaction score
2,283
Habari wana Jf Poleni na Majukumu ya kila siku. Mchumba wangu ana ujauzito wamiezi Sita Lakini ana lalamika maumivu makali chini ya Kitovu kila siku Jamani tatizo gani hili?
 
Mpe pole. Hii mada imeshaulizwa sana humu. Jaribu kusearch threads zilizopita
 
Hud akuna mtu ana muda kukesha na jf thread msaidie ulichonacho huna kaa kimyatmpaka yesu atakaporud
 
Hud akuna mtu ana muda kukesha na jf thread msaidie ulichonacho huna kaa kimyatmpaka yesu atakaporud

Kwa majibu uliyotoa wewe ni bora nawe ukae kimya mpaka kiama.
 
Kwanini msiwahi hospitali?....au mnasubiri mpaka tarehe ya clinic?
 
Inawezekana anakaa na mkojo mda mrefu maana katoto kakiwa kanarusha miguu kanagonga kwenye kibofu. Au pengine mtoto anakuwa amekaa vibaya, cha msingi ajaribu kumuona doctor physically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…