Ni mategemeo yangu muwazima wa afya!..naombeni mnisaidie maana kama limeshakuwa tatizo,hli tatizo la kupata maumivu makali hasa chini ya tumbo na ubavuni upande wa kushoto mara tu baada ya sex,tatizo nini?!.
Ni mategemeo yangu
mu~wazima wa afya!!..naombeni mnisaidie maana kama limeshakuwa
tatizo,hli tatizo la kupata maumivu makali hasa chini ya tumbo na
ubavuni upande wa kushoto mara tu baada ya sex,tatizo nini?!.