Upo dar? karibuni nitaandaa video ya mazoezi kwa ajili ya watu wa aina yako maana ishakuwa ishu kwa watu wengi, matatizo ya miguu yanawasumbuwa sana watu wanaotumia muda mwingi kukaa au kusimama katika siku. Lazima kuwe na balanzi, hutakiwi ukae muda mrefu au usimame muda mrefu, lasivyo damu inajikusanya sehemu moja na kutengeneza taka za asidi ambazo ni sumu. Kwa sasa tafuta matunda uanze kuyala na ongeza mboga za majani katika mlo wako, nitakuandikia vizuri usiku mazoezi gani utapaswa kufanya.