Maumivu kwenye shingo

mwanza

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2009
Posts
759
Reaction score
489
Jamani naombeni msaada ninajisikia maumivu kwenye shingo sasa ni wiki ya tatu bado hayajaisha. Mwanzoni nilidhani labda kulala na mto nikaacha ila bado maumivu yakaendelea nikaenda kucheck malaria wakaniambia nina malaria nikanywa dawa nikamaliza ila bado nasikia maumivu. Sasa hivi kuna jamaa zangu wawili nao wanajisikia maumivu kama yangu. Naombeni msaada wa matibabu au kama kuna mlipuko wa ugonjwa na matibabu yake ni yapi?
 

Kama ni ya muda mrefu check au pima kichocho - then toa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…