Baba Loveness
Member
- Sep 24, 2014
- 6
- 69
Habari za wakati huu wapenzi wa JF,
Naombeni ushauri wenu sababu nina msichana wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo.
Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo.
Naombeni ushauri wenu sababu nina msichana wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo.
Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo.