Maumivu kwenye titi (ziwa) la upande wa kulia

Maumivu kwenye titi (ziwa) la upande wa kulia

Baba Loveness

Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
6
Reaction score
69
Habari za wakati huu wapenzi wa JF,

Naombeni ushauri wenu sababu nina msichana wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo.

Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo.
 
duuh pole mkuu...mpeleke hospitali yenye vipimo vikubwa ikishindikana tafuta wale wa tiba asilia
 
Habari za wakati huu wapenzi wa jf.. Naombeni ushauri wenu cz nina demu wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo
Akae vizuri na mewata aisei..!
 
Itakuwa ulienda hospitali za uchochoroni, fanya hv nenda na huyo demu wako Ocean road hospital au Hindu mandal (kama una NHIF Card) omba kuonana na daktari bingwa then kamuelezee hapo utapewa msaada zaidi
 
Habari za wakati huu wapenzi wa jf.. Naombeni ushauri wenu cz nina demu wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo
Hapo red, sio kila hospitali inaweza kubainisha matatizo ya kansa. Hebu nenda hospitali zenye hadhi hiyo... kama uko Dar hebu mkimbize mara moja hapo Ocean Road hospital kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya... (Hii haimaanishi nimethibitisha kuwa ana kansa)
 
Hapo red, sio kila hospitali inaweza kubainisha matatizo ya kansa. Hebu nenda hospitali zenye hadhi hiyo... kama uko Dar hebu mkimbize mara moja hapo Ocean Road hospital kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya... (Hii haimaanishi nimethibitisha kuwa ana kansa)
Kansa huwa haina maumivu initially. Uvimbe unakuwa hauna maumivu. Sasa kama kuna maumivu????? Stand to be corrected
 
Kansa huwa haina maumivu initially. Uvimbe unakuwa hauna maumivu. Sasa kama kuna maumivu????? Stand to be corrected
Ndo maana nimemshauri aende kwa wataalam mkuu...

Hapa kila mtu atampa ushauri wake ambapo si njema kitabibu
 
Ocean Road ndio kila kitu, hata Mimi nina tatizo hilo tena kuna siku lilivimba likawa mara mbili ya ukubwa wake nilikwenda Muhimbili wakanishauri niende Ocean Road kule waliangalia wakaniandikia dawa nikanunua Ila ni ngumu kupatikana pia ni ghali kidogo na ni kidonge kimoja tu, ushauri ni kwamba 'halifai' kwa matumizi ya kawaida maana litauma na litavimba tu, sijaandika jina la dawa maana hutouziwa bila cheti kutoka kwa daktari na ni katika maduka makubwa ya dawa si vinginevyo
 
Habari za wakati huu wapenzi wa JF,

Naombeni ushauri wenu sababu nina msichana wangu (mpenzi wangu wa kike) amekuwa akipata maumivu kwenye ziwa lake la upande wa kulia na ameenda hospitali kufanyiwa vipimo zaidi ya mara mbili na madaktari hawaoni tatizo.

Naombeni mnishauri hili kitakuwa tatizo gani au nifanyaje kukabiliana na maumivu hayo.

Pole sana kwa tatizo hili,
Hayo ni matatizo yapo na nimengi sana na ukiyawai yanatibika pia dawa za asili zipo nyingi na zinawasaidia watu sana.

Tembelea blog yetu kwa mawasiliano zaidi.


BLOG=ZAHIRI HERBAL HEALING CENTER

Dr.Shariff
 
Back
Top Bottom