mahondaw naona kila siku unaleta visa vya watu usije ukawa n ww mwenyew nyamaaaf.....
Halafu mwambie huyo mwanaume aache ungese hayo mambo ya kujifanya mkweli hayo ipo siku yatamtokea puani....
Wenzake wanasema ukweli wote ila sio huo wa michepuko... Ohoo shaur yake