Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu naweza pata dawa gani ya kuponyesha mdomo wangu unauma ni kila kitu cha moto ...na ulimi pia unauma upande mmoja wa kulia...kuna mtu kaniambia labda sina vitamins.
Ulimi unauma kama umekatwa na kiwembe hasa ni kila kitu cha moto.
Nina siku ya nne sasa.
Ulimi unauma kama umekatwa na kiwembe hasa ni kila kitu cha moto.
Nina siku ya nne sasa.