Ilikujua medical diagnose ya tatizo kuna mambo mengi wala siyo Dalili tu anazoonesha mgonjwa ili kujua tatizo la ugonjwa anaoumwa kitu cha kwanza ni historia ya mgonjwa , cha pili Kufanya physical assessement (feeling,listening na looking) katika mifomo ya mwili yote kuanzia kichwa hadi miguu, tatu -vipimo vya maabara , x-ray, CT- scan . Mwambie akapime magonjwa haya turbeculosis( TB) , Ugonjwa wa moyo(Heart attack), kisukari(diabetics) , cancer ya tumbo , na HIV .