George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Asante kwa ushauri...Ni kawaida tu...... ila ni vyema mkaenda hospital akachekiwe kama ni normal au abnormal. Watamshauri
Millen Magese..!?Mcheki Millen Magese nafikiri anatoa elimu na ufahamu kuhusu hiyo ishu kila siku
Chango la kizazi ndilo linalo msumbuwa nione mimi nipate kumtibia apate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Habari zenu wana JF...
Mpenzi wangu anasumbuliwa na maumivu makali wakati wa hedhi...
Yaani akiingia kwa hedhi hatulali,napata shida sana katika hili...
Pia tatizo lingine ni kwamba anatoa damu nyingi sana,hadi naogopa..!
Msaada wenu tafadhali wanajukwaa..!
Asante sana mkuu kwa kujali kwako...Chango la kizazi ndilo linalo msumbuwa nione mimi nipate kumtibia apate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Asante kaka mshana...Hilo ni chango, mara nyingi ni mpaka binti ajifungue ndio tatizo huisha
Kwasasa akianza bleed mshauri atafune kitunguu saumu kitamsaidia
Hata mimi nilikua sijui kitu kama wewe mkuu...Mmm mkuu pole mi sina la kukushauri huko bado sijuagi kitu!!!
Asante kwa ushauri wako mkuu...Nashauri pia ale ndizi mbivu na maji ya moto kama kinywaji akpata nafasi.