Maumivu makali siku za hedhi

mtoto wa maskini

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
1,152
Reaction score
637
Wana jamii heri ya mwaka mpya, inakuaje mtu anapata maumivu makali sana siku za hedhi hata baada ya kumaliza siku zake?
 
Kama hajawahi pata mtoto ni kawaida kwa baadhi ya wasichana/wanawake, au kapata mtoto na amekaa muda mrefu pasipo kuconceive tena
 
Ni kawaida hiyo unaweza kupunguza maumivu kwa kuweka maji ya moto moto kwenye chupa ya plastic (au ile mipira ya kukandia) unakanda kanda tumbo, au massage ya tumbo pia.....inasaidia kupunguza maumivu
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…