Maumivu makali ya masikio

Maumivu makali ya masikio

Mdadamwema.

Senior Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
156
Reaction score
173
Salaam wakuu,

Mimi nasumbuliwa na masikio yote mawili yanauma sana kama vile mtu anasukumiza matambara huko ndani, yakianza kuuma hivyo nasikia na kichwa kinaniuma na ninahisi kizunguzungu kwa mbali. Nilienda hospitalini Dr akasema Sina maambukizi ya sikio wala Sina uvimbe ndani ya sikio akanipa Dawa tu ya maji ya kuweka nilipata naafuu kwa mbalii, Dawa imeisha tu tatizo limejirudia tena.

Shida inaweza kuwa ni nini wakuu? Na kama kuna Daktari wa masikio naombeni connection yake, niko dar.
 
Pole sana mdada mwema watakuja kukushauri zaidi
 
Salaam wakuu,

Mimi nasumbuliwa na masikio yote mawili yanauma sana kama vile mtu anasukumiza matambara huko ndani, yakianza kuuma hivyo nasikia na kichwa kinaniuma na ninahisi kizunguzungu kwa mbali. Nilienda hospitalini Dr akasema Sina maambukizi ya sikio wala Sina uvimbe ndani ya sikio akanipa Dawa tu ya maji ya kuweka nilipata naafuu kwa mbalii, Dawa imeisha tu tatizo limejirudia tena.

Shida inaweza kuwa ni nini wakuu? Na kama kuna Daktari wa masikio naombeni connection yake, niko dar.
Mkuu pole kwa kuumwa na maradhi ya masikio hebu nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole
 
Salaam wakuu,

Mimi nasumbuliwa na masikio yote mawili yanauma sana kama vile mtu anasukumiza matambara huko ndani, yakianza kuuma hivyo nasikia na kichwa kinaniuma na ninahisi kizunguzungu kwa mbali. Nilienda hospitalini Dr akasema Sina maambukizi ya sikio wala Sina uvimbe ndani ya sikio akanipa Dawa tu ya maji ya kuweka nilipata naafuu kwa mbalii, Dawa imeisha tu tatizo limejirudia tena.

Shida inaweza kuwa ni nini wakuu? Na kama kuna Daktari wa masikio naombeni connection yake, niko dar.
Pole sana mkuu,tafuta mafuta ya kuku yapashe kidogo yawe vugu vugu,tiririsha kiasi kwenye sikio lenye tatizo,kwa uwezo wa Mungu utapona ndani ya siku mbili tuu.
Kuku ni yeyote,kienyeji au kisasa.
 
Ukikosa daktari,basi tumia hii ya asili,tafuta mchunga uponde kisha nyunyiza mchuzi wake masikioni ni uhakika yani ila usitie maji Wala chochote kwenye huo mchunga uliouponda.
 
Pole sana mkuu,tafuta mafuta ya kuku yapashe kidogo yawe vugu vugu,tiririsha kiasi kwenye sikio lenye tatizo,kwa uwezo wa Mungu utapona ndani ya siku mbili tuu.
Kuku ni yeyote,kienyeji au kisasa.
Asante Mkuu kwa ushauri wako🙏
 
Nyunyiza mchuzi wa majani ya bhangi. Hutosikia tena.
 
Ukikosa daktari,basi tumia hii ya asili,tafuta mchunga uponde kisha nyunyiza mchuzi wake masikioni ni uhakika yani ila usitie maji Wala chochote kwenye huo mchunga uliouponda.
Shukrani Mkuu
 
Binafsi hili ndio liliniponya mpaka leo sijui maumivu ya masikio tena
.. japo pia mafuta ya kuku nilitumia
Hongera kwa kupona Mkuu, nawewe ulikuwa unasikia kichwa kinauma na kizunguzung?
 
Hongera kwa kupona Mkuu, nawewe ulikuwa unasikia kichwa kinauma na kizunguzung?
Kifupi masikio yanauma vibaya mno .. na yakiuma lazima usikie kichwa kinabamiza mana ni maumivu makali mno... Kichwa kikiuma mana kinavuta lazma kizunguzungu
 
Back
Top Bottom