Maumivu mwili mzima

Maumivu mwili mzima

Dannis

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2016
Posts
1,603
Reaction score
1,702
Jamani wana JF, napata maumivu makali sana na sijui nini tatizo
1: maumivu ya tumbo la juu kama mtu amemwagia maji moto, kuunguruma, na linauma zaidi pale ninapokuwa na hofu ya kitu Fulani

2: maumivu ya mishipa ya macho na kichwa

3: maumivu misuli ya shingoni na mikononi hasa wakati wa jioni

4: Napata choo kidogo na kigumu rangi ya ugoro tena mara chache wakati mwingine mara 1 kwa siku

Naomba msaada kwa anayejua tatizo

Ahsanteni
 
Back
Top Bottom