Waslaamu wadau wa afya,
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa beers kwa muda sasa, lakini siku za karibuni nikinywa beers nyingi jioni ya leo basi kesho yake ahsubuhi huamka na hangover na wakati mwingine husikia maumivu ya ndani ya mfupa wa mguu wa kushoto yaani eneo la chini Kati ya goti na eneo la unyayo.
Je wenye uzoefu hii ya weza kuwa dalili gani au Ugonjwa gani?
Ahsanteni.