Pole sana sasa wewe badala ya kwenda hospitali ili wakupime wakupe dawa usipopona ndio uje hapa wewe unakuja hapa kutaka ushauri wa watu pasipo na vipimo? nenda kwa madaktari wakupime ili wajuwe una nini kwenye tumbo lako Mkuu bebiwilli
Nimeuliza kwa sababu sehem nilipo hakuna hospital nzur,mpaka nirud twn,so 4the moment nilikuwa nahitaj kujua,cz hapa c ni jf doctors au?