Mimi ni wakiume lakini.
Habari wana JF.
Naombeni mnisaidie kubaini tatizo nililo nalo. Nimeamka asubuhi nikigusa chuchu yangu ya kushoto nahisi maumivu na kama dalili ya uvimbe.
Je inaweza ikawa dalili ya ugonjwa gani na tiba zake kwa mwenye kufahamu.
Ahsanteni.
Pima na mimba mkuu...!
Amesema yeye ni dume!!
lete nizinyonye zitapoa
lete nizinyonye zitapoa
Habari wana JF.
Naombeni mnisaidie kubaini tatizo nililo nalo. Nimeamka asubuhi nikigusa chuchu yangu ya kushoto nahisi maumivu na kama dalili ya uvimbe.
Je inaweza ikawa dalili ya ugonjwa gani na tiba zake kwa mwenye kufahamu.
Ahsanteni.
kama upo kwenye umri wa kubalehe hiyo ni kawaida wala usiogope... vumilia tu.
hadi wanaume?
Mimi ni wakiume lakini.