Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
Hivi humu jf hakuna mtu anaitwa Mizambwa kweli?
(user name).
Mimi ndiye ninaitwa MIZAMBWA;
Hili ni jina langu kabisa, sasa sipati picha kuhusu hayo maumivu yanayoitwa "Mizambwa" tena. Naomba tuelimishane vinginevyo nafikiria kubadilisha jina sijui nitaweza kwani nilipewa na wazazi wangu.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!