Maumivu wakati wa haja ndogo.

Maumivu wakati wa haja ndogo.

youngashley

Senior Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
187
Reaction score
52
Hapa nilipo nakisikia maumivu wakati wakukojoa ,,na wakati mwingine mkojo ukitoka unakuwa umechanganyika na damu .
 
Pole sana. Nenda kwa Dr. Lakini yawezekana kabisa una UTI au Urethral stricture.
 
Umekosa njumu za kuvaa? Vp ucheze mechi peku?,nenda pale karume kuna Adidas,Nike,Puma tena bei nafuu sana,..haya nenda kapime Gono haraka...

akishapima gono aende VCT kuchek status, coz gono na ngoma ni mtu na baba yake.
 
Kama damu inatoka mwishonimwishoni,.basi ni Ugonjwa wa Kichocho huo,.nenda kwa doctor
 
Back
Top Bottom