Nina mzee wangu kanipigia simu anasema akitaka kukojoa mpaka ajikamue sana na mkojo unakuwa kama hautoki then anapata maumivu makali sana na anajiskia kukojoa mara nyingi kiasi ameshindwa ata kwenda kazin maana yupo jirani na kopo la mkojo...
Umri ni miaka 57 na tatizo limeanza jana.
Msaada tafadhali