maumivu ya jino! ni mdudu au kutopiga mswaki?

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
wakuu kuna mada inayo sumbua vichwa vya wengi sana sana wazee wetu ambao hawaja ionja ladha ya skull.
Kwa upande wangu nimeamua kuingia jf kuutafuta ukweli.
Ivi maumivu ya jino yanasababishwa na mdudu au mabakibaki ya chakula yanayosababisha kuwe na utando flani kwenye jino na kusababisha jino kuuma.Sanasana vyakula vya sukari .
 
Maumivu ya jino hutokana na jino kutoboka. Jino hutobolewa na ACID ambayo ni by product ya sukari iliyoliwa na wadudu walio mdomoni ambao ni normal flora, yaani ni hao wadudu wapo tu na hawana madhara na wanatakiwa kuwepo. Jino likitoboka na kufikia sehemu iitwayo DENTINE hapo ndipo maumivu yanaanza, kwani dentine iko sensitive kwa kila kitu yaani cold, hot, touch, pressure n.k. Jino likitoboka zaidi ya hapo hufikia sehemu iitwayo pulp hapo ndio kwenye mziki mnene wa hakuna kulala. Hope you got me Nigga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…