Wana jf naomba ushaur wenu.ninasumbuliwa na maumivu ya jino.limetoboka hvyo natakiwa nikajaze risasi.vp inauma kujaza risasi?oa itanichukua muda gan kupona.asanten wakuu
Wana jf naomba ushaur wenu.ninasumbuliwa na maumivu ya jino.limetoboka hvyo natakiwa nikajaze risasi.vp inauma kujaza risasi?oa itanichukua muda gan kupona.asanten wakuu