Mchafukoga
Member
- May 25, 2013
- 38
- 3
Habarini waungwana,
Mimi kila siku ikifikia saa kumi jioni kichwa kinaniuma sana nimemeza paracetamol hadi sasa nimechoka.
Naomba niambiwe tatizo hili linasababishwa na nini?
Mimi kila siku ikifikia saa kumi jioni kichwa kinaniuma sana nimemeza paracetamol hadi sasa nimechoka.
Naomba niambiwe tatizo hili linasababishwa na nini?