Pole. Tatizo lako linaweza sababishwa na kazi unazo fanya.
1.Je unafanya kazi ktk mazingira ya kelele!?
2. Unafanya kazi za kuumiza kichwa kama hesabu au cancelling?
3. Unafanya kazi kwa mfukulizo kwanzia asubuhi mpaka jioni bila kupumzika?
Hiyo ni mifano tu kutokana na uelewa wangu mdogo. Jichunguze then pia jifunze kutumia maji kwa wingi.