Maumivu ya kifua,harufu mbaya mdomonina mafua kutoka kwa mbali

KIPUMPUSWA

Senior Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
106
Reaction score
35
Naomba msaada wa matibabu kwani ilianza maumivu ya kifua na nilishawahii kutumia antibiotics capsules za aina tofauti bila mafanikio, kuna wakati makohozi yalikuwa na chembechembe nyeusi, suviti sigara. baadae nikaanza kuhisi harufu mbaya mdomoni, hali ipo mpaka leo, makohozi bado napata na mafua kwa mbali hayachuruziki ila nikipenga yanatoka. naomba msaada wenu.
 
Mkuu wahi hospitali haraka sn..hapa hutapata tiba sahihi.. .ushauri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…