Maumivu ya kiuno kwa wajawazito

Maumivu ya kiuno kwa wajawazito

fite fite

Senior Member
Joined
Feb 27, 2017
Posts
113
Reaction score
94
Habari ya leo wana jamvi naomba kujua mjamzito kuumwa kiuno ni hali ya kawaida Kama si hali ya kawaida ni nini kinasababisha na suluhisho la haya maumivu ni nini?
 
Ninachojua maumivu ya kiuno ni ya kawaida kwa mjamzito,mda mwingine hua na maumivu chini ya mgongo pia na hayo ni ya kawaida.

Ushauri usitumie dawa yakuchua yoyote ukiwa na maumivu hayo,kwa maelezo zaidi ila muone daktari clinic.
 
Ninachojua maumivu ya kiuno ni ya kawaida kwa mjamzito,mda mwingine hua na maumivu chini ya mgongo pia na hayo ni ya kawaida.

Ushauri usitumie dawa yakuchua yoyote ukiwa na maumivu hayo,kwa maelezo zaidi ila muone daktari clinic.
asante ndugu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom