Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
hi, nina ndugu yangu, umri umekwenda, yuko 50+ sasa anasumbuliwa sana na maumivu ya magoti. lipi suluhusho katika hili na ni wapi anaweza kupata tiba bila longolongo? na tatixo linasababishwa na nini? kuna virutubisho anaweza kula tatizo likaisha?