Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
hi, nina ndugu yangu, umri umekwenda, yuko 50+ sasa anasumbuliwa sana na maumivu ya magoti. lipi suluhusho katika hili na ni wapi anaweza kupata tiba bila longolongo? na tatixo linasababishwa na nini? kuna virutubisho anaweza kula tatizo likaisha?
toa maelezo ya kutosha ili tukusaidie hapahapa jamvini,katika maelezo yako ya hapo ni umri tuunaweza saidia kufanya diagnosis,vingine vyote porojo.Toa vizuri maelezo yako mfano muda wa tatizo lilipoanza,linamuathiri kiasi gani,aliwahi enda hospital au laa ,aliwahi tuma dawa au laa,kama alitumia dawa gani,kama kuna historia yeyote ya hilo tatizo ndani ya ukoo/familia yake etc.Hayo yatasaidia sana
ndimi kiroboto
Kama mpenzi wa kula nyama ya mbuzi mwambie aache, kuna baadhi ya watu wakila mbuzi wanaumwa magoti.
ukweli ni kwamba keshahudhuria hosp kadhaa na kupata dawa ila nadhani hajapata tiba sahihi. Magoti yanamuuma zaidi wakati wa kuinuka. Pia yanamsababishia kuumwa mwili. So ni wapi specifically anaweza kupata hiyo tiba
Hakuna haja ya vipimo hilo tatizo linaeleweka ni age related you need more of the clinical history and we collerate it with the american college of rheumatology criteria to reach the diagnos huyo anahitaji suppliments chondroitin sulfate, lincosamide, hyarulonic acid methyl sulfonyl methane,cyanocobalamine and calcium.jamii huwa inatupotosha dawa za hospital tulizonazo zinatuliza maumiv haziponyi ila nilizoziandika hapo juu ukitumia hautakaa usikie tena hilo tatizo, tafuta zitumie na tuletee ushuhuda hapa.ukikosa pm nikuletee.
Hakuna haja ya vipimo hilo tatizo linaeleweka ni age related you need more of the clinical history and we collerate it with the american college of rheumatology criteria to reach the diagnos huyo anahitaji suppliments chondroitin sulfate, lincosamide, hyarulonic acid methyl sulfonyl methane,cyanocobalamine and calcium.jamii huwa inatupotosha dawa za hospital tulizonazo zinatuliza maumiv haziponyi ila nilizoziandika hapo juu ukitumia hautakaa usikie tena hilo tatizo, tafuta zitumie na tuletee usghuhuda hapa.ukikosa pm nikuletee.
hi, nina ndugu yangu, umri umekwenda, yuko 50+ sasa anasumbuliwa sana na maumivu ya magoti. lipi suluhusho katika hili na ni wapi anaweza kupata tiba bila longolongo? na tatixo linasababishwa na nini? kuna virutubisho anaweza kula tatizo likaisha?
[h=1]Je Una Maumivi Ya Gouts (Viungo)? - Home Remedies for Gout [/h]
Gout:
• Gout is a form of arthritis
• It is also known as toe or feet disease
• The condition usually affects the toe, knee or wrist joints
• More than one joint can be affected at one time
Symptoms to look for:
• Sudden bouts of unbearable pain
• Inflammation, tenderness in the joints
• Gout attacks usually occur at midnight or early in morning
• Affected joint becomes hot and swollen and is very sensitive to touch
• Pain and swelling generally goes away after 1-2 weeks
• The pain reoccurs after sometime in the same or some other joint
Causes:
• High level of uric acid in the body
• Excessive alcohol intake
• Stress
• Lack of exercise
• Skipping meals
• Dehydration
• High aspirin intake
• Menopause
Natural home remedy using mustard oil and camphor:
1. Take 1 cup of mustard oil
2. Add 10 gm of camphor
3. Heat till camphor dissolves completely
4. Massage the affected area with lukewarm oil
Natural home remedy using apples:
1. Eat 1 apple after every meal
2. Apples have malic acid, which neutralises uric acid
Natural home remedy using lime:
1. Add the juice of half a lime to 1 glass of water
2. Drink 2 times a day
3. Citric acid in lime dissolves uric acid
Natural home remedy using ice:
1. Wrap ice cubes in cloth
2. Place on the affected area
3. This provides only temporary pain relief
Tips:
• Drink 8-10 glasses of water every day. It washes out the uric acid deposits
• Have 15-20 cherries every day
• Anti-oxidants in cherries help relieve inflammation
• It reduces the frequency of gout flare-ups