Mkuu nenda kawaone wataalamu wa mifupa. Kama upo dsm nenda pale MOI weka appointment kumuona Dr.Shareef, au Dr.Mboya au nenda Hindumandal Hospt Kamuone Dr. Kaushik. Hawa ni madaktari wazuri wa mifupa.
Unaweza ukawa na aina mojawapo ya Arthritis kama vile Rhumatoid Arthritis(i just Guess ,mimi si mtaalamu)