Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 300
Hapo penye bold nakubaliana na wewe Kongosho lakini kuna changamoto moja kuwa kama mmoja yupo kimaslahi na mwingine ndo keshafika, aliyoko kimaslahi ndiye ambaye hawezi kuumia, lakini yule aliyejiona ameshafika ndiye anayekumbwa na mkasa wa majeruhi wa mapenzi .....
Swali: Tunakuwa hatufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Kuna namna ya kuepukana na hii hali? Nini cha kuzingatia tunapoanzisha mahusiano yanayoweza kutupeleka kwenye ndoa?
hebu niambie nini cha kuzingatia manake kuna mtu nadhani kama ananichomesha mahindi tu
Mie naaamini kabla ya kuingia kwenye mahusiano unajua kabisa
Huyu mtu ni wa aina gani
Kuna viashiria vidogo vidogo viiingi
Lakini mara nyingine tunakataa kuukubali ukweli maana kwa wakati huo unakuwa mchungu kwetu
Inabidi kujidanganya mtu unayeingia naye kwenye mahusiano na yeye 'kapeeenda' huku wazi kabisa 'conscious' au 'six sense' yako inakuambia anataka 'pesa' yako tu anataka kuingia kwenye 'sketi' yako tu
Mbona hili liko wazi from day 1?
Mtu anayekupanda 'genuinely' unamfahamu kabisa.
cacico, kuona viashiria ni A, na kuukubali ukweli ni B
Siamini kuwa kuna watu hawawezi kabisa kuona viashiria au kuna watu wanaweza kupretyend saaaana kiasi kwamza usiweze ona ukweli.Kinachotuumiza ni 'denial' kwa sababu ushavutiwa sana na mtu huyo.
Jamani kila kitu huiongea, maneno, matendo, macho.Usiniambie wee huna 'six senses'? hata kama ziko five senses mtu anayekupenda kiukweli kabisa unamjua
Cha kwanza huwa hana 'mysteries' unaweza msoma kila kitu.Ukiona uko na mtu afu kila siku kuna vitu 'dots' haziconnect afu bado useme hukujua kama ni real ama lahBasi anza fuata utabiri hata wa hali ya kewa.
Simaanishi kuwa kuanzia mwanzo utajua mikiki mikiki yte kuwa labda atakuua au atakuwa anakupiga 2*3 kwa siku 4Lakini utajua kabisa huyu mtu chochote chaweza tokea so expect some 'Disappointments'
cacico, kuona viashiria ni A, na kuukubali ukweli ni B
Siamini kuwa kuna watu hawawezi kabisa kuona viashiria au kuna watu wanaweza kupretyend saaaana kiasi kwamza usiweze ona ukweli.Kinachotuumiza ni 'denial' kwa sababu ushavutiwa sana na mtu huyo.
Jamani kila kitu huiongea, maneno, matendo, macho.Usiniambie wee huna 'six senses'? hata kama ziko five senses mtu anayekupenda kiukweli kabisa unamjua
Cha kwanza huwa hana 'mysteries' unaweza msoma kila kitu.Ukiona uko na mtu afu kila siku kuna vitu 'dots' haziconnect afu bado useme hukujua kama ni real ama lahBasi anza fuata utabiri hata wa hali ya kewa.
Simaanishi kuwa kuanzia mwanzo utajua mikiki mikiki yte kuwa labda atakuua au atakuwa anakupiga 2*3 kwa siku 4Lakini utajua kabisa huyu mtu chochote chaweza tokea so expect some 'Disappointments'
Kongosho, hapa ni kama umenisemea. Tatizo haka kasimu siwezi kuweka big LIKE. Tatizo watu, hasa wadada, tunaona maisha magumu kwa kuingia kwenye mahusiano na mtu mwenye matabia ambayo huyapendi ukadai kwamba "utambadilisha". Kama mtu unampenda na unaona uta-enjoy kampani yake basi ingi kwake ukijua utavumilia pia mapungufu yake, siyo kwamba utambadilishaNdiyo maana nikasema kwenye namba moja hatutaki kuwa "realistic"......Kwamba sijidanganyi na najua huyu mtu ni player kwa hiyo kama naingia lazima niukubali 'utata" wake na nijue namna ya kukabiliana nao au kuumia nao ama niangalie future kwa uhalisia wake vilevile na si kujidanganya kwa jambo ambalo huna hakika nalo (kwa mfano atabadilika baadaye)
Duh, pole bana, naona leo cacico yupo kichwani mwangu sana.
Hata mtu akupende genuinely, off course kama binadamu anakuwa na mapungufu
Nachoongelea hapa ni pale unajua kabisa huyu mtu si wa muda mrefu au si match ya aina ya mwenza wangu lakini unakuwa naye tu kwenye mahusiano sababu ushampenda so unaamua kufumbia macho yale usiyoyapenda
FP acha utani bana sie wenye katochi tusemeje? lolKongosho, hapa ni kama umenisemea. Tatizo haka kasimu siwezi kuweka big LIKE. Tatizo watu, hasa wadada, tunaona maisha magumu kwa kuingia kwenye mahusiano na mtu mwenye matabia ambayo huyapendi ukadai kwamba "utambadilisha". Kama mtu unampenda na unaona uta-enjoy kampani yake basi ingi kwake ukijua utavumilia pia mapungufu yake, siyo kwamba utambadilisha
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
hivi kuna mapenzi iwapo kuna msukumo wa nje?Wengi wanakua wanaingia kwenye mahusiano kwa maslahi yao,wakikuona mambo safi mtu anaingia na maneno matamu,
baby na darling kwa wingi,na wala haoni tabu kumchukua bwana na hata mdogo wake..
Kongosho signature yako yaweza kusemea kila kitu hapa.Mmh, HP moyo ni msaliti sana wakati mwingine.
Kuna saa ukweli unakuwa shubiri unaamua kujifurahisha na uongo japo kwa muda.
Hapa mwisho wake lazima yawe machozi
Kuna saa unapenda wakati unaona mbele kiza na unajua/hisi kabisa hakuna future.
Kama ni mtu 'realistic' unaamua kukwepa ila ukishindwa unajisemea liwalo na liwe
Na kumbuka, wakati mwingine kadiri unavyokaa na mtu ndivyo upendo unazidi
1. Tumekuwa wasanii mno (tunaigiza tunachokiwaza) hatutaki kuwa realistic na kuukubali ukweli
2. Kipato pia ni tatizo......wapenzi wanataka kupendeza (pesa), kula vizuri (pesa), simu na voucher (pesa), kutoka out (pesa).......Kwa hiyo utaona hivyo vionjo vyote vipya vilivyoingizwa kwenye mapenzi vinaenda kwa nguvu ya chapaa na kama mmojawapo hana basiii.
3. Tuna-expect mengi sana kutoka kwa wenzi wetu kana kwamba wao ni viumbe wa ajabu sana au malaika kwa mfano: sexy (unataka perfect), uzuri (perfect) , maongezi na (perfect) n.k
4. Kutokuwa waaminifu kwenye mahusiano....ambayo pia inaweza kuchangiwa na sababu hizo hapo juu
tatizo unatakiwa kulijua wewe na huyo mpendwa wako coz mapenz hayana formula kwamba fulan alifanya hivi bac uige,so lazima ujipime wewe kama ni mkal wa kuhandle situations,enjoy...........
Kongosho wasemea maslahi gani hapa?Mambo safi ni nini?
Na maslahi mazuri yanaaznia sh. ngapi?
Basi, tena penzi linapokuwa la maslahi haliumi hata tone moja
Wenye mafao mazuri ya kimaslahi ni wengi tena wanono tu
Ni marketing strategy tu inahitajika, hapa huwa anashuka mtu anapanda mtu.
But, when it's 'real' hapo ndio huwa kuna maumivu.
Hapo penye bold nakubaliana na wewe Kongosho lakini kuna changamoto moja kuwa kama mmoja yupo kimaslahi na mwingine ndo keshafika, aliyoko kimaslahi ndiye ambaye hawezi kuumia, lakini yule aliyejiona ameshafika ndiye anayekumbwa na mkasa wa majeruhi wa mapenzi .....
Swali: Tunakuwa hatufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Kuna namna ya kuepukana na hii hali? Nini cha kuzingatia tunapoanzisha mahusiano yanayoweza kutupeleka kwenye ndoa?
kwani kaka yangu furaha ya dunia hii imekuwa established wapi? na je kuna utimilifu wowote katikati ya binadamu?
mara nyingi tatizo ni kutokuwa makini, kufuata hisia kuliko uhalisia.
HP unarefer kwenye mahusiano gani? manake to me everything must be defined before getting in. kwani si lazma mdefine terms and conditions b4? ama lunch na dinner tunatoana with no focus? unless kama mnatoka for funny lakin in real relationship it is not supposed to be like that.