gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Sis kwa maswali magumu: Furaha iipo kwenye upendo usiohesabu "gharama" .......na hakuna utimilifu kwa binadamu lakini tunatakiwa tuenende kama watu wanaotafuta utimilifu huo na si bila dira yeyote
mdogo wangu and thats where the problems comes. katka makosa makubwa ni mtu kuona kwamba furaha yake iko established kwenye mapendo siyo kweli hata kidogo. Furaha iko established ndani ya nafsi ya mtu kwa component mja tu iitwayo amani. kama unayo amani furaha ipo tu lazima manake yawezekana usipendwe lakin ukawa na furaha.
and if this is the case basi tuangalie amani yetu twaipatia wapi ndipo utakapojua upendo uko established wapi. hakuna binadamu mtimilifu na kwakulijua hilo nafikiri hatupaswi kuumizwa na mapungufu waliyo nayo wenzetu bali tuyapokee kama changa moto