maumivu ya mifupa

mwl frank

R I P
Joined
Jul 11, 2011
Posts
78
Reaction score
27
ninasumbuliwa na maumivu makali kwenye goti na sehemu ya nyonga mguu wa kushoto tu,mwenye tiba asaidie.
 
Naona kama maelezo yako ni mafupi sana kupata diagnosis, na ukikanyaga duka la dawa baridi tu utajikuta wanakuandikia dawa ya maumivu! kwisha!
Nenda hospitalini, uonane na wataalamu wa mifupa! kuna maelezo watachukua, kisha vipimo! wanaweza kufanya na xray! halafu utapata tiba sahihi!
 
Ipo dozi ya tiba hiyo ilinisaidia nipm nikupe maelekezo
 
hi wadau! mm nna ugonjwa huo wa mifupa nikifanya kaz ngumu hua nackia maumivu mwln halafu nachoka sana nsaidien wadau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…