Kwa muda wa wiki 2 nimepatwa na hali ambayo inashangaza,!
Kila nikikaa sana au kulaala niliamka nasikia maumivu ya miguu kuanzia kwenye magoti hadi kwenye unyayo!
Aidha nikitembea nasika maumivu kwenye nyao kila nikikanya ga chini bila viatu !
Nahis kuna kitu hakiendi sawa,
Najua kuna mtakao nijibu niende kwa daktari ni sawa !
Ila nawaamini sana wataalamu nwa JF wanaweza wakanipa mwanga.
Nashukuru....karibuni mnielismishe!