Mama yangu anaumwa sana miguu na kiuno anapata maumivu makali sana. Alipimwa KCMC akaambiwa mifupa kwenye uti wa mgongo imelika ndiyo maana anapatwa na maumivu ya viungo na hakuna dawa ya kutibu ila tu atumie dawa za kutuliza maumivu. Nimeleta hata kwa kuwa kuna wataalamu wengi wa dawa haya za asili. Kama kuna anayefahamu dawa au ushauri wa nini kifanyike anisaidie bi mkubwa apone. Asanteni.
Mkuu nsalu na Mkuu martinndanshau Dawa ya kutibu hayo maradhi ninayo ukiweza nitafute kwa kubonyeza hapa.MawasilianoPia mama yangu anaumwa iviyo iviyo
Mkuu hili tatizo limekua kubwa sana hata mimi Baba yangu ana maumivu hayo hayo nilimpeleka Besta kinondoni kuchukia kipimo tukaenda MOI walitoa dawa nyingi za maumivu mzee anahudhuria mazoezi pale pale MOI lakini issue bado ngoja tujaribu kwa Mzizi Mkavu nae tuone