Sigara Kali JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 3,623 Reaction score 8,442 Jun 17, 2017 #1 Kama kichwa cha habari kinavojieleza napata maumivu ya viungo vya mwili vinauma sana na kusababisha misuli yote ya tumbo inauma mbaya. Je kuna dawa ya kuchua au nifanyaje haya maumivu yaishe?
Kama kichwa cha habari kinavojieleza napata maumivu ya viungo vya mwili vinauma sana na kusababisha misuli yote ya tumbo inauma mbaya. Je kuna dawa ya kuchua au nifanyaje haya maumivu yaishe?
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jun 17, 2017 #2 Tafuta Dawa ya kuchua na mazoezi ya kutosha ufanye..