Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Ndugu zangu wahenga walishasema mapema ya kwamba MCHUMA JANGA HULIA NA NDUGUZE.
Ki kawaida matatizo humuumiza zaidi yamhusuyo kuliko jirani na mfano hai ni suala la kufiwa aumiaye na msiba ni mfiwa na nduguze siyo majirani wasio na chembe ya ndugu
Kwa muktadha huo hata haya ya mamikataba mibovu yahusuyo bara MSITARAJIE YATAWAUMIZA WAZANZIBAR ILHALI MRADI HUSIKA (BANDARI) SIYO SUALA LA MUUNGANO.
Kazi kwenu wenye yenu shughuli hakika mstarajie kilio chenu na jirani yenu kitafanana!
Ki kawaida matatizo humuumiza zaidi yamhusuyo kuliko jirani na mfano hai ni suala la kufiwa aumiaye na msiba ni mfiwa na nduguze siyo majirani wasio na chembe ya ndugu
Kwa muktadha huo hata haya ya mamikataba mibovu yahusuyo bara MSITARAJIE YATAWAUMIZA WAZANZIBAR ILHALI MRADI HUSIKA (BANDARI) SIYO SUALA LA MUUNGANO.
Kazi kwenu wenye yenu shughuli hakika mstarajie kilio chenu na jirani yenu kitafanana!