Wanajf,
Mimi ni kijana wa miaka 34, nasumbuliwa na maumivu ya nyonga kuanzia katikati kuelekea upande wa kushoto nasikia kuna kitu kinachoma kuanzia kati kuelekea kushoto, kinachoma kama sindano halafu kinaacha.
Naomba msaada wa mawazo kama kuna mtu ameshakutana na tatizo kama hili au kama anamjua dokta au hospitali ambayo naweza pata matibabu kulingana na tatizo langu.
Natanguliza shukrani